I came from a local village, old house, poor family with sad stories. Am hustling not to impress or being in competition, am tryna create my own legacy. CHAMP
Nimeweza hili sio kwa ujanja wangu. Kwanza namshukuru Mwenyezi Mungu asie shindwa na yote amekua akiniambia usiogope fanya kwa uwezo wako mengine nimwachie yeye na hakika haniachi.
Barua yangu ya wazi kwa
@kigogo2014
Sina shaka ya kuanza kujitambulisha kwa kuwa wanifahamu. Nachukua muda huu kukuandikia yafuatayo tafadhari naomba soma barua yangu
Leo kwa mara ya kwanza tangu nazaliwa nimeingizwa kwa hicho kidude na nimewekwa kwa dakika 45 tu hapa Muhimbili. niko salama wazee ila ukiwa unaomba usinisahau.🙏🏿
@moodewji
#MoGifts2020
mimi Andrew Mpambazi nimuhitimu wa chuo kikuu cha Dar es salaam nimeamua kujiajiri kama mjasiriamari mdogo kwa kutengeneza sabuni za Kigoma na kuzisambaza kwenye mikoa michache ya Tanzania ukiniwezesha nitaweza kuzalisha nyingi na kuwafikia wahitaji wengi
@moodewji
Sihitaji huruma yenu nyinyi mnaohisi nimekosea maana sintoweza kuwa mfungwa wa mawazo kama nyinyi ila nahitaji sapoti kwa wale wanaojua kuwa niko sahihi na ninapaswa kukipigania. Skieni kwani sijafunzwa kuogopa kusema ninacho amini ni sahihi nitasema "Till I Die"
Kama uko tayari kuona
@diamondplatnumz
akishinda
#betawards2021
gonga like na retweet hapa. Na kama kumshabikia Chibu kwa hili ni dhambi Mungu aniadhibu alafu nyie awape yote yalio mema milele.
Wapwa tuinuane kwa Rts naombeni hii Samsung A10's naitaka for sure. Kindly by ijumaa niwe na na RTs nyingi.
Nikishinda, hii simu (Samsung) nayotumia sasa nitaitoa kwa Mpwa mmoja hapa kwa utaratibu tutaokubaliana. Twende kazi.
#NBCBARAKOACHALLENGE
Mimi ni kijana nimesoma na kulingana na ugumu wa ajila nikaona fursa ipo kwenye ujasiriamali nikajiajili na kuajili vijana wenzangu pia ili kusogeza Maisha na kujipatia Ugali wa kila siku. Maamuzi yangu ya kuamua kusimama na Diamond PlatnumZ haikua kwaajili ya vita bali Utanzania
Mimi nimtanzania mwenzenu jamani yani Mnaonesha kunichukia hadharani hivyo kisa tu nafurahia maisha yangu baada ya shida nyingi nilizopitia, Anyway baada ya yote haya nimepanga kuandaa kitabu changu na chuki zenu zitakuemo jiandae kukisoma.
Juzi nilichangia Damu kwa ajili yake bila malipo na sijawahi kufahamiana nae kabla hata kumwona tu. MUNGU ampokee huyu brother leo nimepokea taarifa kuwa kafariki pale Mlonganzila 😭🙏🏿
Simba inamashabiki zaidi ya 50B na ambao ni mashabiki dam dam hawapungui 30B Tanzania nzima. Tukiamua kila shabiki Damdam kuchangia Tsh. 5,000/= tunajenga Viwanja 2 vikubwa kila mkoa.
Kumbe kilicho mleta Diamond platnumz KIGOMA ni pamoja na kumpigia kampeni Magufuli. Hadi Polepole nae alikuepo, mala nikasikia
CCM oyeeeeeeeee
Magufuli oyeeeeee
Mimi nasema hadharani bila kufukuza hawa pale Simba sinto shabikia tena mpira wa Bongo. Naipenda Simba tangu nazaliwa ila siwezi vumilia hawa watu kuharibu club yetu nikakaa kimya hata kidogo. Niko pale wakiondoka nitarudi kushabikia Simba.
Namshukuru Mungu anazidi kunipambania leo kwenye Gazeti la Nipashe wameweka habari yangu kwenye ukurasa mzima.✊🏿✊🏿 Vijana wenzangu tupambane sana dunia tunaidai hela nyingi
CHAMP SOAP is loading.....
Itakuwa reja reja kwa jumla bei rahisi ya Kigoma
Mikoani hadi mijini nitatuma kuwa tayari.
Press your order now : 0759643067
BARUA KWA MAGUFULI
Chuki hufunga akili. Inazuia ubunifu wowote wa mbinu. Viongozi hawana nafasi ya kuchukia --kwenye hii miaka 5 ya uongozi wako kumekuwa na chuki za wazi kabisa kati ya wana CCM na UPINZANI
WAKO MPAMBAZI
THREAD 👇🏿
First pic was me fighting for New Simba jersey in VunjaBei store Sinza.. Second pic is me in new Simba Jersey deal as an VunjaBei Ambassador. 🔥
#InGodWeTrust
🙏🏿
Account ya Zack inatumika vibaya sana naomba uchague maneno ya kutweet. Juwa kipindi hiki ni cha mpito tu. Anae kupenda anakwambia ukweli kabla mambo hayaja aribika. Sikupangii ila nakushauri kama Rais wangu wa Wapwa.🤘 nakupigia simu kukwambia maneno haya❤❤
Kama Waziri Mkuu napenda kuwajuza Wapwa yakuwa tumepata ugeni:-
-Masanja Mkandamizaji
-Nikkwapili
-HK Kigwangalla
-Lady Jay Dee
-ROMA
Nao wamejiunga rasmi nawako excited kuwa miongoni mwa Wapwa.
Tuwakaribishe kwa shangwe.
UZI👇🏿
Mimi Andrew Mpambazi, leo napenda kuwakaribisha katika bidhaa yangu mpya kabisa kutoka katika brand yangu ya THE CHAMP, na leo napenda kuitambulisha rasmi sabuni yangu mpya ya Kuogea yaani
#CHAMPsoap
, sabuni asilia isiyokua na kemikali na rafiki kwa kila mmoja
Endelea👇🏿
Nipo mlimani city muda huu kuna kijana kanisogelea mchafu kimavazi na kanambia nimsaidie nauli aende mbezi mwisho ndio kwao sasa sikuhitaji kumdadisi nimetoa buku moja nikampa, nimeenda mbele kuna kitu natafuta madukani Ile narudi nyuma namkuta anaomba wengine nauli. WTF🤯
BARUA KWA JESHI LA POLISI
Kupotea Ben Saa8, Azory n.k kuuliwa kwa Daniel John, Godfrey, Aflonce Mawazo, Akwilina, miili kukutwa ufukweni mwa Bahari kama Cocobeach na Bagamoyo. Kutekwa Mo, Roma, Mdude, Nondo, n.k haya yamewatia doa kwenye miaka hii 5 ya magufuli.
WAKO MPAMBAZI
Dhumuni langu ilikua ni kuonesha yakuwa kila mwenye ndoto anaweza ifanikisha lakini watu wameipokea safari yangu kitofauti sana imekua chuki sasa, naomba tuishie hapa yaliobaki ni mambo yangu na sinto washirikisha tena mpaka nitaporudi, ila sasa tutajadiri mambo mengine tu.
Zack sitaki kuamini kama ni wewe unae tumia hii account maana umekosa ubinadamu kabisa umekuwa mchonganishi na mchochezi wa mambo ya hovyo hii sio sawa mtu kwenda kumuona magonjwa ni vibaya kisa mpinzani. Shame on you brother🙌🙌
BARUA KWA SPIKA
Uliipiga teke katiba, Bunge limekosa mvuto kabisa yaaani kabisa saivi tunaona mipasho ya kwenye taarabu ikiendelea. Miaka hii 5 hukuitendea haki bora umemaliza uondoke aje mwingine
Acha uwoga.
WAKO MPAMBAZI
Story gazetini.
Baada ya gazeti la MWANANCHI kuniita na kunihoji na gazeti kutoka trh 1 octoba 2020 nilipokea simu kutoka gazeti la NIPASHE wakiitaji kunihoji juu ya ujasiriamali wangu wa Sabuni nafurahi leo ijumaa trh 9 octoba 2020 gazeti lao limetoka na taarifa zangu.
UZI
Mayai ya
@ExMayorUbungo
ndio mayai pekee unayoruhusiwa kula kwa awamu tatu kwa siku yaani asubuhi, mchana na usiku bila kuwa na wasi wasi wowote.
Sio kila mayai ni mayai ila mayai na Bon Yai nikiboko.
#UtanishukuruBaadae
BARUA KWA CCM
Leo nyinyi mmeshika Dola fanyeni mema zaidi kwa jamii maana mwisho wenu umekaribia kama tunavyozaliwa na kufa. Wapinzani nao wataishika Dola ndipo mazuri na mabaya yenu yatapimwa kwenye mzani. UKWELI HAUFICHIKI
ACHA UWOGA
WAKO MPAMBAZI