Kigogo Media Profile Banner
Kigogo Media Profile
Kigogo Media

@kigogo2014

Followers
1,366,962
Following
903
Media
29,249
Statuses
214,843

Official X handle of Kigogo Media I The uncensored,unfiltered and unbiased online news in East Africa I Email: news @kigogomedia .com

Kenya and Tanzania
Joined April 2014
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
Pinned Tweet
@kigogo2014
Kigogo Media
1 year
Sisi ndiyo sisi!.. tunaanza upyaaaa
Tweet media one
6
155
3K
@kigogo2014
Kigogo Media
46 minutes
Yaani ile timu ni upupu mtupu
@TerazziJr
Roger_Zanzibar
46 minutes
Wakale wapi kaka😁😁😁
0
1
4
1
0
12
Kigogo Media Retweeted
@TerazziJr
Roger_Zanzibar
46 minutes
Wakale wapi kaka😁😁😁
0
1
4
Kigogo Media Retweeted
@SumaMwaitenda
Suma Mwaitenda (Mwananchi)
54 minutes
Yanga Bingwa 💛💚🖤
Tweet media one
4
16
377
@kigogo2014
Kigogo Media
50 minutes
Simba haiwezi kufikia utulivu na mafanikio ya Yanga wanayopata sasa chini ya muundo wa sasa na chini ya uongozi wa sasa! Achilia mambo ya kupigwa 5 kila siku mwakani wasipokuwa makini Simba wanashuka daraja!
@YBoyfredoo
Young_boyfredoo
51 minutes
@kigogo2014 Unatumia silaha nzito sana shemasi
0
0
2
3
3
19
@kigogo2014
Kigogo Media
1 hour
Jifunzeni kutoamini wanasiasa!
@Alice_Erasto_
ALICE ERASTO
5 hours
Nikiwa form4 (2018) pale Bugene sec alitutembelea Mbunge @innobash na akazungumza nasi, aliahidi mwanafunzi ambaye angepata Div.1 Kama yake atampa zawadi. Mie nikapambana nakupata hio Div1. Mpaka leo namtafuta mh. Mbunge anipe zawadi pia namshukuru kwani aliniongezea ujasiri🙏
Tweet media one
75
25
374
0
1
9
@kigogo2014
Kigogo Media
1 hour
Simba hakuna timu pale! Wanatakiwa kufukuza uongozi mzima na kuanza upya
@__abdulazack
𝐃𝐫.𝐙𝐚𝐜𝐤™🇹🇿
1 hour
Ila Simba ya msimu huu jamani😌
Tweet media one
5
4
60
2
3
18
Kigogo Media Retweeted
@Jaguar_455
jaguar 😺
2 hours
Nachokiona sasa nchi ni kwamba CCM HAIWEZI kuondoka madarakani miaka yote. Kuna vyama pinzani vina miaka 30 viko kwenye kampeini huku mtaani ili havijawahi pata watu kama hivi, yani havina ushawishi tena
Tweet media one
Tweet media two
4
3
22
@kigogo2014
Kigogo Media
3 hours
(✍🏻 na mwandishi wetu) Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akifuatilia na kusikiliza kwa makini mazungumzo  na Wawekezaji na Wamiliki Wakubwa wa Kampuni za Korea wakati wa hafla maalum ya chakula cha jioni kilichoandaliwa na Wamiliki hao jijini
Tweet media one
3
9
27
@kigogo2014
Kigogo Media
3 hours
(✍🏻 na mwandishi wetu wa Mwanza) SERIKALI YENU IPO IMARA- WAZIRI MKUU MHE. MAJALIWA Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema Swrikali ya awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ipo imara na inaemdelea kutekeleza miradi ya kimkakati Amesema utekeleza wa miradi
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
1
5
28
@kigogo2014
Kigogo Media
5 hours
Doro huna ubavu wa kuwafanya kitu hawa acha kujipapatua hapa! Utawafanya nini? Au unataka kuchunguza nini wakati barua iko obvious!? Toaga ujinga wako hapa! Wewe unapenda mambo haya na huwezi kuyakemea na hakuna uchunguzi utafanya ni blah blah tu. kwenye bajeti yako umeogopa
@Dr_DGwajima
Dr. Dorothy Gwajima
8 hours
Taarifa kwa Umma.
Tweet media one
36
38
185
3
4
29
@kigogo2014
Kigogo Media
5 hours
😁😁😁
@Sisimizi3
Dr. Sisimizi
8 hours
Wanasiasa washaanza kujiingiza tena TLS
Tweet media one
9
1
47
0
2
20
@kigogo2014
Kigogo Media
5 hours
😁😁🙌🏼
@TerazziJr
Roger_Zanzibar
7 hours
Ile hoteli ingekuwa zenji leo ingekuwa balaa😁😁😁
7
2
16
2
2
7
@kigogo2014
Kigogo Media
5 hours
😁😁😁 uwanja wa Mabatini
@Mwanangoheranga
Mchokolasi Mlaviliwe
5 hours
@FKihamu @Mr_Artwell Labda uazime wachezaji wenu wa Shupaza na Boma Fc za Ifuakala ya mjomba wako @kigogo2014 😂 😂
1
0
1
1
1
7
Kigogo Media Retweeted
@salim_alkhasas
Salim Alkhasas
7 hours
Hii maelezo yako tu inatosha kusema rudi kwenye umbea wa kupost nyuchi za watu! Mambo ya uchambuzi wa siasa mmmmh… pole
7
5
19
Kigogo Media Retweeted
@ccm_tanzania
Chama Cha Mapinduzi
2 days
WAZIRI MKUU MSTAAFU NDG.FEDERICK SUMAYE AIPONGEZA SEKRETARIETI YA CCM TAIFA.
18
21
83
@kigogo2014
Kigogo Media
8 hours
KHEEE
@Aduiwayanga
Adui Wa Yanga
8 hours
MARIA SARUNGI KIPINDI BABA YAKO NI WAZIRI ULIKUWA MKAA UCHI KWA KUJIFANYA MWANAMITINDO. Jamani msitete mtu msiyemjua, Baba yake Mariah Sarungi huyo Profesoo alikuwa ni moja wa mafisadi katika serikali ya Mkapa, ngoja niwaeleze kidogo mimi nimefanya kazi pale JKN international
Tweet media one
69
30
139
0
2
6
@kigogo2014
Kigogo Media
8 hours
(✍🏻 na mwandishi wetu wa Arusha) KATIBU MKUU WA CCM DOKTA NCHIMBI ATUA MKOANI ARUSHA KUANZA ZIARA Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dokta Emmanuel Nchimbi akizindua shina la wakereketwa wajasiriamali, Tarime Group lenye wanachama 200 ambalo lipo eneo la Makuyuni
Tweet media one
Tweet media two
0
2
20
@kigogo2014
Kigogo Media
8 hours
(✍🏻 na mwandishi wetu) WAZIRI MKUU MHE. MAJALIWA ASISITIZA UWAJIBIKAJI KWA WATENDAJI HALMASHAURI Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa amewataka watendaji wa Halmshauri ya Wilaya ya Nyag’hwale kuhasikiliza kero za wananchi na kuzipatia ufumbuzi
0
3
13
@kigogo2014
Kigogo Media
8 hours
(✍🏻 na mwandishi wetu) HAYA NI MAFANIKIO MAKUBWA SANA KWA RAIS SAMIA NA SERIKALI YA AWAMU YA SITA Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia suluhu Hassan na Rais Yoon Suk Yeol wa Jamhuri ya Korea wameshuhudia utiaji saini wa Mkataba mmoja, Hati za Makubaliano (MOU) 2
Tweet media one
0
5
22