Naitwa LUGANO EDOM 🎤 🎤 🎤
GOSPEL MUSIC MINISTER
NYIMBO ZANGU ZIPO YOUTUBE
KATIKA CHANEL YANGU
KARIBU UTAZAME AUDIO 🔉 NA UTAZAME VIDEO 📹
MUHIMU ZAIDI BONYEZA SUBSCRIBE
👇 👇 👇
BONYEZA RT Retweet moja Tu
Huku Twitter kuna watu wanajifanya wanajua sana maisha ya mtaani. Alafu huwa mnawashambulia sana Graduaters 🎓 ebu Tuacheni kwani maisha ya chuo au shule ni rahisi.
Nasemaje kama mnajua kusoma nirahisi na mtaani ni kugumu kuliko kusoma. NAOMBA MUENDE NA NYIE MKAENDEELEE KUSOMA😁
Tanzania nchi nzuri ya uoto wa kuvutia karibuni wageni
@UtaliiTz
@HKigwangalla
..
Walio wahi kufika au kupita hapa ni location ya wapi?
Kama hujui Retweet wengine wataje.
Mwalimu wa kweli.
Hatongozi wanafunzi
Hanyanyasi wanafunzi
Hupenda wanafunzi
Huishi vizuri na wanafunzi
Ni kila kitu kwa wanafunzi
Samahani walimu wenzangu sifa nyingine za Mwalimu wa kweli?..
Naomba Mda huu Tuinuane Kidogo Kama Uko below 10k kama mimi like na ku comment hapa kisha Follow Wale Wote Watakao Like Comment Yako Pia wanakufollow back
Tunainuana sisi kwa sisi 🙏
Week hii nahitaji nikamilishe mzunguko niwe na friend 10k.
.. 🤝🏼 🤝🏼 🤝🏼🤝🏼
Wale wa kuinuana twende kazi....
.. Kama una Follower chini ya 5000
Retweet kisha Coment na make sure unawafollow wote walio Retweet hii post..
Bwana Yesu Kristo asifiwe sanaa.
Kwa majina yangu
Ninaitwa LUGANO Edom.
Ni mwimbaji wa nyimbo za Injili.
Napenda kuukaribisha Katika Chanel yangu ya YouTube.
Utazame na kusikiliza nyimbo zangu.
Usisahau KUSUBSCRIBE na kushare kwa wengine
. Artist ;Lugano Edom
Kuanzia leo mimi ni Mwalimu. Lugano Edom.
.
Walimu wenzangu mnisaidie Kuretweet tujuane Mapema.
Wale wenye connection za Kuhitaji waalimu wa masomo ya SANAA (ARTS)
Nipo hapa.. 😁
Waalimu Retweet please.
Habari ndugu yangu. Naitwa Lugano Edom. Nipo jijini Mbeya. Ni mwimbaji wa nyimbo za Injili. Nimekuletea video mpya yenye pambio ya kumtukuza Mungu. Naomba saport yako kwa kuitazama na kutoa maoni yako. Pia . Nisaidie kuitazama na kusambaza
👇👇RETWEET
HUKU TWITTER UKIWA NA FOLLOWER WACHACHE UKIPOST KITU KIZURI KINAIBWA NA WENYE FOLLOWER WENGI.
HAHA 😂 hua nashangaa sana.
Kama wewe unakwazika na katabia kawizi wa post Retweet hii iwafikie wote wenye tabia za Wizi wa tweets za wengine. 😄 😁
#UPEPOwakisulisuli
Karibuni Mbeya Wadau.
MBEYA.
MBEYA kuna chakula cha kutosha bei rahisi
Matunda usiseme
Hali ya hewa ina change kila dakika
Mboga mboga usiseme yaani.
#amazingMbeya
Sigara zinasababisha mdomo kuwa mweusi
Mapafu yanaungua yanakuwa kama mkaa
Tena kijana utakufa kwa ugonjwa wa mapafu
Figo zitafeli
ACHA SIGARA SIGARA NI HATARI.
...