Nimepata bahati ya kutembelewa ofisini kwangu na Mheshimiwa
@jokateM
Tumezungumza machache zaidi nashukuru Sana kwa ukarimu wako umenihamasisha kujituma zaidi.
Mungu akubariki Sana kwa kujali, Kuthamini na kutumia wakati wako kwajili yangu.
Karibu Tena Mhe hapa ni kwako 😅🙏