Martin Maranja Masese Profile Banner
Martin Maranja Masese Profile
Martin Maranja Masese

@IAMartin_

Followers
509,488
Following
1,573
Media
15,266
Statuses
145,356

MMM | Full-time Father | Public-spirited | Sperm That Won The Race, ME | Think Deep Don’t sink | Cogito, ergo sum |

Tanzania
Joined March 2010
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
@IAMartin_
Martin Maranja Masese
2 years
Peter Drury commentary gives you absolutely goosebumps. 🐐 #PL #MUFCLIV
156
2K
13K
@IAMartin_
Martin Maranja Masese
2 years
Leo ni siku yangu ya kuzaliwa. Namshukuru Mungu wangu. Kila hatua DUA. 🙏
Tweet media one
Tweet media two
1K
671
8K
@IAMartin_
Martin Maranja Masese
4 months
What a great day. Siku kubwa sana hii kwetu watu wa mageuzi. #vuguvugulakudaihaki
Tweet media one
229
735
7K
@IAMartin_
Martin Maranja Masese
1 year
MSANII wa MUZIKI anayeweza kuweka mambo yote yaliyotokea miaka 7 iliyopita katika dakika 6 na akazungumza KERO na matamanio ya JAMII anastahili kupewa maua yake. Wasanii wengi wanaweza kufanya vitu vingi lakini siyo KUJADILI masuala ya JAMII zao @Roma_Mkatoliki chukua MAUA yako.
Tweet media one
Tweet media two
235
667
6K
@IAMartin_
Martin Maranja Masese
7 months
Leo ni siku yangu ya kuzaliwa. Namshukuru Mungu wangu. Kila hatua DUA. 🙏
Tweet media one
Tweet media two
683
411
5K
@IAMartin_
Martin Maranja Masese
2 years
Freeman Aikael Mbowe na wenzake watatu, wameaachiwa huru leo, na Mahakama kuu Divisheni ya makosa ya uhujumu uchumi na Rushwa, Baada ya DPP Kuwasilisha hati ya kutokuwa na nia ya kuendelea na shauri hilo, leo 4.3.2022. Hivyo, Freeman Aikaeli Mbowe #MboweSioGaidi
451
1K
5K
@IAMartin_
Martin Maranja Masese
3 months
Dingii… 🤜🏾
Tweet media one
121
554
5K
@IAMartin_
Martin Maranja Masese
3 years
Ndugu zangu, leo tumepata ushindi mkubwa sana, kwa sababu makarao wangelifanikiwa kuwazuia watu wetu wasiingie mahakamani au waingie kwa makundi leo, na wakawazuia na kutumia simu kwa wale wanaoingia, basi ingelikuwa BAD precedent. Tujipongeze tafadhali. Tutalinda haki zetu. 💪
187
622
5K
@IAMartin_
Martin Maranja Masese
3 years
Taarifa: na washauri ili kwenda sawa, upate kila tweet ambayo inatoka hapa Ubungo-Mawasiliano, Mahakama Kuu Divisheni ya makosa ya uhujumu uchumi na Rushwa, bonyeza ile alama ya kengele kwenye profile, ili kila tweet ucheze nayo.. Ushauri wa THREAD ni mzuri lakini wengi watapitwa
180
474
5K
@IAMartin_
Martin Maranja Masese
2 years
Freeman Aikael Mbowe anapiga "PEOPLEEEEEEEE'S" ya nguvu sana kwa sauti kubwa hapa na mahakama yote inaitikia "POWEEEEEER"...
185
455
4K
@IAMartin_
Martin Maranja Masese
1 year
Mimi na @Ntobi_ tulikuwa safarini kuelekea DAR (kumpokea Tundu Lissu) kutoka Mwanza kwenye mikutano ya hadhara, safari haikuwezekana, tulipata ajali mbaya. Tumetoka salama katika ajali hiyo. Mungu wetu ni mwema sana, wakati wote. Lazima tumshukuru Mungu. To God be the Glory. ✊
Tweet media one
Tweet media two
1K
348
5K
@IAMartin_
Martin Maranja Masese
3 years
My WhatsApp App is now flooding with messages after i gave you my number. Ni zaidi ya MAHABA. Eeh! Yaani meseji hadi nashindwa kujibu zingine, ni nyingiiii. TUISHI wanangu, tuishi na tuombeane kheri nyingi, LAZIMA tusimame kuhesabiwa, NCHI yetu sote hii.. TUPENDANE! MSIOGOPE!🙌💪
135
381
4K
@IAMartin_
Martin Maranja Masese
2 years
Adv. Peter Kibatala, akipunga upepo nje ya mahakama. Tumpe pongezi nyingii sana na tumwage RETWEETS nyingiiiiii sana; nitamuonyesha huo upendo. Hiyo ni salamu yetu kwake, haswaa watu ambao hamjapata nafasi ya kufika mahakamani kumshuhudia mwamba huyu. Let’s go!
Tweet media one
141
2K
4K
@IAMartin_
Martin Maranja Masese
2 years
1. Mohammed Abdillah Ligw’enya 2. Freeman Aikaeli Mbowe 3. Adam Hassan Kasekwa 4. Khalfan Hassan Bwire Wapo uraiani! Sema neno lolote kwa ajili yao wote! ✊🏾
Tweet media one
387
551
4K
@IAMartin_
Martin Maranja Masese
2 years
“Shujaa Mvuvi — Muokoaji” Majaliwa Jackson (Maja Munyama), mvuvi wa dagaa anasema alipoona ndege imetua ndani ya maji (kutoka upande wa Kyaka) isivyo kawaida, kwa kuwa ilikuwa asubuhi, saa 8:53 EAT, aliwasanua wenzake waliokuwa na mtumbwi mdogo, walipiga kasia hadi kwenye ndege.
Tweet media one
239
557
4K
@IAMartin_
Martin Maranja Masese
6 months
This… 🙏🏽 Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ)
Tweet media one
140
288
4K
@IAMartin_
Martin Maranja Masese
8 months
Bwana ⁦ @kalage_jr ⁩ ahsante kwa kuleta ‘unyunyu’ wetu hadi Mbezi Beach. Tumepokea manukato na Mungu akubariki. Sasa kazi inayofuata ni kuwa na ofisi yetu, wateja tufuate mzigo golini. Kila hatua DUA. InshaAllah. #lowlifelifted
Tweet media one
Tweet media two
178
408
4K
@IAMartin_
Martin Maranja Masese
3 years
Kibatala: Unakumbuka mara ya mwisho wakati unatoa ushahidi ulisema mkiwa maeneo ya Boma Ng'ombe washtakiwa walikula Chakula.. je unakumbuka walikula chakula gani? Shahidi: Ndizi, Nyamachoma na MO Energy
178
438
4K
@IAMartin_
Martin Maranja Masese
3 years
As a matter of course, I'm very much happy from all this love I’m receiving actually. it means alot to me when the people I love and speak for them seem to genuinely care about what I'm doing.. Let's all live-high brothers & sisters.. Thanks for the love & support hermanos. ❤️ ✌️
205
442
4K
@IAMartin_
Martin Maranja Masese
3 months
I’m happy, my brother ⁦ @ExMayorUbungo ⁩ is winning. Jah is so good.
Tweet media one
268
301
4K
@IAMartin_
Martin Maranja Masese
3 years
wakili Nashon: ieleze mahakama kuwa kati ya wewe na Kingai nani anaidanganya Mahakama, Sababu Kingai anasema mliwakamata wakati wanakunywa supu wewe unasema wakati wanatembea.. shahidi: Mimi sijui Kingai katoa ushahidi gani, maana sikuwepo..
518
484
4K
@IAMartin_
Martin Maranja Masese
3 years
Polisi wametuzuia mimi na Boniface Jacob tusiingie mahakamani. Wanasema wanayo majina mawili. Boniface Jacob na Martin Maranja Masese. Tumewashauri kama kuna kosa la jinai tumefanya basi watukamate, wanasema hapana, maelekezo ni kutoingia ndani ya mahakama.
296
417
4K
@IAMartin_
Martin Maranja Masese
3 years
Wengine msiwajibu, wapuuzeni, anaeweza kuandika, kupesti court proceedings, afanye hivyo, (kama ni rahisi), tutashukuru. All in all, kazi inafanyika kubwa, kamwe hatuwezi kuacha kuandika lolote ambalo linahusu FREEMAN AIKAELI MBOWE (MWAMBA). Jumatatu tutakuwa LIVE, Insha'Allah!
233
438
4K
@IAMartin_
Martin Maranja Masese
2 years
Kule Nje ni Kelele za Shangwe na Fifijo watu Wanaimba, Imebidi Mahakama Kufunga Vioo Vya Madirisha ili Kuzuia Kelele Kuingia Mahakamani, Wewe furaha yako ni Kiwango gani? Onyesha emoji ya furaha hapa Chini.. Au picha yako ukiwa na furaha kubwa..
658
410
4K
@IAMartin_
Martin Maranja Masese
3 years
Tupo live.. Pande zote mbili zimekubaliana, wamekubaliana kuendelea na kuripoti kesi ni ruksa, baada ya upande wa serikali kuombwa kifungu kinachozuia na kushindwa kutaja..
301
487
4K
@IAMartin_
Martin Maranja Masese
3 years
jaji ninawatakia Kheri wote hadi hiyo Jumatatu, ahsante sana, Jaji anasimama, polisi anapiga kelele zile za KOOOOOOOORRRRTIIIIII na wote tunasimama.. Mimi pia nawatakia jioni njema, na wapenda na tuendelee kusomana hapa, don't touch the dial. Same time same place. #MboweSioGaidi
Tweet media one
Tweet media two
322
422
4K
@IAMartin_
Martin Maranja Masese
3 years
Kimsingi wakati wa kuandika proceedings za kesi, hatuongezi neno hata moja, sana kuna mengi yanatupita kwa sababu ni majibizano ya haraka, halafu yapo kwa kiingereza mara nyingi. Hivyo, tunalinda hadhi ya mahakama kwa kutoongeza neno kwenye maneno ya Jaji, mawakili au watuhumiwa
134
324
4K
@IAMartin_
Martin Maranja Masese
3 years
wakili Kibatala: ooohhh! Mwambie Jaji kuwa umewasiliana na Afande Kingai jana saa 3 Asubuhi shahidi: lakiiiiiiiiiiniiiiiiiiii....... wakili Peter Kibatala: jibu kulinda heshima yako tafadhali.. shahidi: ndiyo niliwasiliana na Afande Kingai
354
449
4K
@IAMartin_
Martin Maranja Masese
2 years
Heri ya siku ya kuzaliwa Adv. Peter Kibatala 🎉
Tweet media one
204
384
4K
@IAMartin_
Martin Maranja Masese
2 years
Ahsahte sana @SimbaSCTanzania kwa heshima kubwa mliyompa heavyweight MC @ProfessorJayTz akiwa nyumbani kwake kitandani kwa sababu za kiafya. You’re truly an awesome club. Joseph Haule atafurahi sana leo. As a @yangasc1935 supporter and fan I’m truthfully blessed! 🙏🏾
91
322
4K
@IAMartin_
Martin Maranja Masese
3 years
Wakuu, tangu juzi, wakati kesi inaendelea, nilijisikia vibaya, jioni jana hali ikabadilika sana, usiku mzima sijapumzisha mwili. Nimehangaika sana. Leo, nimekwenda kupima, nimekuta Malaria, UTI na Amoebiasis. Nimepata matibabu, natumia dawa, bado sijaimarika sana. Tuombeane.
661
282
4K
@IAMartin_
Martin Maranja Masese
2 years
“Nilikwenda Nairobi, nikamuita Halima Mdee, akasafiri na Ester Bulaya. Nimekuwa nao siku 7 nikimshawishi Halima anieleze nini kilitokea, aligoma. Nikamuomba aache huo ubunge, nimemtafutia kazi Nairobi na RSA na atalipwa US$15,000 (Shs. 34.9M), Halima akagoma” - @freemanmbowetz
152
326
4K
@IAMartin_
Martin Maranja Masese
2 years
Picha hii inazungumza kwa sauti kubwa sana.
Tweet media one
214
310
3K
@IAMartin_
Martin Maranja Masese
7 months
Rhulani Mokwena, miaka 36, mkufunzi wa Mamelodi Sundowns F.C. Saidi Ntibazonkiza, miaka 36, mchezaji tegemeo Simba Sports Club.
Tweet media one
Tweet media two
300
196
4K
@IAMartin_
Martin Maranja Masese
2 years
My phone is flash flooding with congratulations messages, calls, etc, I’ve put it on vibration mode and actually, I’m happy… 😂✊🏾
160
250
3K
@IAMartin_
Martin Maranja Masese
3 years
Fikiria Komandoo wa JWTZ amekwenda kwenye misheni za kivita DRC kupambana na waasi wa MaiMai, anapigwa kipigo na afande Goodluck na Kingai hadi anashindwa kutembea, anatambaa kwa siku 6, unadhani kwa watu ambao sio wenye mazoezi ingelikuwaje?? Tunaishi kwenye ardhi mbaya sana..
139
447
3K
@IAMartin_
Martin Maranja Masese
2 years
Another one. God did! God is great. What a year! 🙏
Tweet media one
194
110
3K
@IAMartin_
Martin Maranja Masese
3 years
Mara ya kwanza kukutana na askari polisi wa Tanzania, tena kikosi Maalum.. Yaani wakatoka Morogoro, akaenda hadi Arumeru, baadae Moshi. Kuwakamata magaidi. Wakawakuta na dawa za kulevya, bastola na risasi 3 lakini wakakaa nao na kuwanunulia MO ENERGY na nyama CHOMA.. Aisee! 😢
159
333
3K
@IAMartin_
Martin Maranja Masese
3 years
wakili Kibatala: nauliza swali ninalouliza mara zote. je unafahamu kuwa kazi ninayoifanya siyo personal? shahidi: kweli wakili Kibatala: mwambie Mheshimiwa Jaji kilichokufanya ushindwe kuja jana ni kwasababu ulikuwa una process kibali cha kijeshi!
112
378
3K
@IAMartin_
Martin Maranja Masese
2 years
Tumebebwa. Haikuwa penati halali. Mchezaji wa Geita Gold kaunawa mpira akiwa nje ya box tena akigeuka tena siyo kwa makusudi. Ilitakiwa kuwa ball to hand siyo hand to the ball.. Tuta la mchongo. Mpira wa hivi hautusaidii sisi na hata nchi yetu.
417
303
3K
@IAMartin_
Martin Maranja Masese
3 years
Simu inaita kwa VIBRATION nzito kweli kweli hapa, vibration kubwa upande wa mawakili wa serikali.. MLIO kama wa MOTOROLA.. Jaji anaonya simu ziwekwe silent zisisumbue mahakama..
302
375
3K
@IAMartin_
Martin Maranja Masese
6 months
Dr. Philip Mpango kufanyiwa upasuaji wa koo, Seoul, South Korea, tafsiri yake, huduma za afya Tanzania ni mgogoro na ukithubutu kutibiwa ni kama una’beti na kifo. Kwanini watawala wanatibiwa nje ya nchi? Huduma nzuri. Hospitali za ndani ni kwa ajili ya nani? Ugua pole daktari. 🙏🏽
Tweet media one
103
218
3K
@IAMartin_
Martin Maranja Masese
2 months
1. Ukimtongoza akakukatalia, usimzingue na kumzushia uongo. Siyo lazima kukubaliwa naye. 2. Mcheki mara moja. Mara ya pili. Hataki kujibu. Achana naye. Usimsumbue. Hamisha kambi. 3. Usijishushe kiwango cha mwisho. Hataki kuongea, achana naye. Usifosi. Siyo mama yako huyo bablai
260
586
3K
@IAMartin_
Martin Maranja Masese
2 years
Mahakama yoye shangweeeee... Nje shangweeeeeeeeeeee!
130
275
3K
@IAMartin_
Martin Maranja Masese
3 months
Ali Hassan Mwinyi amefariki. Ni vyema sasa mkatueleza, tunakwenda kumzika Zanzibar ili kumsaidia kijana wake (kisiasa) au tunakwenda kumpuzisha Kivure, Mkuranga, Pwani kama alivyoelekeza mwenyewe. Apumzike kwa amani mzee Rukhsa. 🕊️
Tweet media one
Tweet media two
105
234
3K
@IAMartin_
Martin Maranja Masese
10 months
Simba fans filled the stadium in their entirety around 12pm. This is the substantive sense of a word ‘full house’. They’ve stocked the stadium. As a passionate Yanga fan, It’s what it’s, and I’m encouraging my fellow fans. We must learn something positive. let’s get on with it.🤜
Tweet media one
173
297
3K
@IAMartin_
Martin Maranja Masese
2 years
FREEMAN AIKAELI MBOWE APPRECIATION TWEET. LIKE and RETWEET with any valid reason. #Mwamba ✌️
Tweet media one
52
661
3K
@IAMartin_
Martin Maranja Masese
3 years
Jaji anasimama anatoka mahakamani baada ya Polisi kuamrisha... Na watuhumiwa wanaondolewa mahakamani kurejeshwa rumande.. Tukutane kesho, same time, same place.. Don't touch the dial.. Tunawapenda wote maana mnatutia nguvu sana...
Tweet media one
151
361
3K
@IAMartin_
Martin Maranja Masese
4 years
LEO nita' FOLLOW akaunti 1,000 kwenye akaunti yangu hii ya Twitter. It's a way of supporting what citizens of United States of America have achieved in freedom of speech na jinsi wanavyoungana kutetea haki zao zinapotomaswa. weka username yako hapa chaap twende mzigoni. LET'S GO!
Tweet media one
1K
230
3K
@IAMartin_
Martin Maranja Masese
2 years
This afternoon, I’ve two scheduled episodes of the BBC & VOA radio programs, as well as three sessions of local mainstream media, & they all want to hear my opinion on Freeman Mbowe’s release & how we’ve managed to report case proceedings for the whole 6 months. MMM to the world!
254
409
3K
@IAMartin_
Martin Maranja Masese
2 years
Wakili Peter Kibatala: Mheshimiwa Jaji Mshtakiwa Wa Nne (Freeman Mbowe) atajitetea Chini ya Kiapo na ataleta Mashahidi 10 pamoja na Yeye Watakuwa 11 na Anategemea kutumia Vielelezo 20
82
322
3K
@IAMartin_
Martin Maranja Masese
2 years
OK!
Tweet media one
193
302
3K
@IAMartin_
Martin Maranja Masese
11 months
. #Kenya msije kusema hatukuwaonya….
Tweet media one
211
137
3K
@IAMartin_
Martin Maranja Masese
3 years
wakili Peter Kibatala: okey kumbe tupo na shahidi ambaye hajui amekuja kufanya nini mahakamani? wakili wa Serikali: OBJECTION tunaomba Kibatala maswali ya Kibatala yazingatie utu na kuacha UDHALILISHAJI...
232
407
3K
@IAMartin_
Martin Maranja Masese
3 years
Ahsante sana ndugu zangu, mapenzi yenu ni makubwa kwetu, tunashukuru, Simi yangu imekuwa bizee sana mfululizo, wengine DM nimewajibu na wengine meseji za kawaida. Binafsi nashukuru wote ambao wameona sababu ya msingi ya kunishika mkono kwa chochote, nitaendelea kuwa mwana-kwenu!
Tweet media one
Tweet media two
205
306
3K
@IAMartin_
Martin Maranja Masese
2 years
This is the kind of energy @yangasc1935 needs to win matches. Well done @SimbaSCTanzania . It's an amazing and well deserved 2nd preliminary round · Leg 1 of 2 win. It will be history 'you only went to Belas, Luanda, Angola and won'. Well done watani. We've something to learn. 👏
200
272
3K
@IAMartin_
Martin Maranja Masese
3 months
Polisi-bandari, DSM nimepata taarifa zenu mnanitafuta mnikamate. Sikilizeni masela, nishavuka hatua za kuogopa kifo changu, sembuse kukamatwa na polisi? Mkiwa tayari mmeandaa mashtaka yenu vizuri, upelelezi umekamilika, niiteni, nitafika, twende mahakamani. Nikawaburuze. MTIKILA.
Tweet media one
118
290
3K
@IAMartin_
Martin Maranja Masese
5 months
Oyah! Ibrahim ( @Roma_Mkatoliki ) nitakueleza Rashid (Chid Beenz) alichotueleza hapa. Anyways, friji langu haligandishi. Amesema amekufunika kwenye ‘Nasikia Harufu’. Rashid anasema hii ngoma kaandika mistari studio, karekodi one-take. Una ujumbe wowote nimfikishie?🙇🏿
Tweet media one
Tweet media two
102
196
3K
@IAMartin_
Martin Maranja Masese
2 years
Nashon: Freeman Mbowe ndiyo alikutana nao Morogoro? Shahidi: Hapana ni mimi nilikutana nao Morogoro Nashon: Kwa hiyo ulienda hadi Morogoro kukutana na magaidi nakuwa Mobilise wafanye ugaidi? Shahidi: HAPANA SIYO MAGAIDI Mahakama: 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂🤲
382
456
3K
@IAMartin_
Martin Maranja Masese
10 months
Mke wa Rais Mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete ambaye pia ni mbunge wa jimbo la Mchinga, Salma Kikwete akifurahia jambo na mtoto wake ambaye ni mbunge wa jimbo la Chalinze, Ridhiwani Kikwete, Naibu Waziri Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Bungeni, Dodoma.
Tweet media one
150
201
3K
@IAMartin_
Martin Maranja Masese
3 years
Msajili wa mahakama kafuatwa na kuulizwa kwanini watu wanazuiwa kuingia mahakamani na simu na wanaingia kwa makundi? Msajili wa mahakama akasema "hatuna rules za kuzuia simu mahakamani. Waacheni watu waingie mahakamani." watu wakarudi kortini. Ahsante Msajili. #MboweSioGaidi
87
380
3K
@IAMartin_
Martin Maranja Masese
4 months
Mabrigedia wenzangu.🤜🏾 #vuguvugulakudaihaki
Tweet media one
52
343
3K
@IAMartin_
Martin Maranja Masese
4 months
Kuna laki mbili na nusu hapa haina kazi, kama ukifanikiwa kuleta picha ya Jakaya Mrisho Kikwete akiwa msibani kwa Edward Lowassa akisalimiana na familia ya Edward Lowassa. #mchongopesa
Tweet media one
157
167
3K
@IAMartin_
Martin Maranja Masese
3 years
Nani kati yetu anaweza kuvumilia kufungwa pingu na kutundikwa juu kama mishikaki, juu-chini.. Wakati anapigwa na rungu kwenye mwili wake, akitulia anachomwa bisibisi kwenye matako na mbavu.... Hakika, hata wale watesaji wa Yesu walikuwa na nafuu. Hii ndiyo vibrant democracy??
91
434
3K
@IAMartin_
Martin Maranja Masese
10 months
“Tusikubali maneno ya kijinga kijinga…. Ooh! anashambuliwa kwa sababu ni muislam! Kwani huu mkataba alisaini akiwa msikitini? Huu mkataba alisaini akiongozwa na imamu gani?” - @TunduALissu
Tweet media one
98
361
3K
@IAMartin_
Martin Maranja Masese
2 years
Content imejileta yenyeweeee.. Acha nikupige kama ngoma leo... Ahsante katibu wa kanisa kwa kuniletea content.. 😂
Tweet media one
305
188
3K
@IAMartin_
Martin Maranja Masese
5 months
Usiku wa mijituzo. Mmetisha sana wanangu.. hii mijituzo ni ushindi kwetu sote. Ni ushahidi kwamba, ninachokifanya, kinaeleweka na kufika kwa watu wengi. Wajibu wangu ni kuisaidia jamii yangu kwa uwezo wangu wote. 2024 itakuwa mara mbili yake; haina kufeli wandewa. Tuishi. 🤜🏾
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
228
420
3K
@IAMartin_
Martin Maranja Masese
10 months
Prof. Abdulkarim Mruma ni jiolojia (geologist). Amepigwa dodoso (cross-examination) mahakama ya ICSID, nikamhurumia alipoulizwa “hayo ndiyo unawafundisha wanafunzi wako UDSM?”. Mruma anaulizwa maswali anasema hakujiandaa vizuri. Unajiuliza alifuata nini Washington, D.C? Profesa?
Tweet media one
206
278
3K
@IAMartin_
Martin Maranja Masese
2 years
Tweet media one
152
237
3K
@IAMartin_
Martin Maranja Masese
3 years
Good morning my beautiful people and noble citizens. Let this morning be the happiest and most successful. Let all desires coincide with opportunities and the Lord will help in this, let everything be fine for all of us today.. Enjoy a Marvellous and Stunning Friday my friend. 👊
132
314
3K
@IAMartin_
Martin Maranja Masese
3 years
Tanzanians on Twitter! 🙏 Mbarikiwe sana... #MboweSioGaidi #MboweIsNotATerrorist
116
290
3K
@IAMartin_
Martin Maranja Masese
3 years
W. S: Kwanini maswali mengi ninayokuuliza hutaki kujibu Shahidi: sana, mlolongo, Mreeeeefu swali halijukikani lipo wapi.. Mahakama: Wote kichekooooo
220
367
3K
@IAMartin_
Martin Maranja Masese
3 years
Kibatala: na wakati mnawaweka Moshi Central police walikuwa wana mafunzo ya Kikomandoo? shahidi: Ndiyo! Kibatala: kwa hiyo sababu zipi special zipo Mbweni na hazipo Central zilizopelekea Kupeleka watuhumiwa Mbweni?
84
364
3K
@IAMartin_
Martin Maranja Masese
3 years
Kibatala: Je unafahamu kuwa Kingai alikuwa Shaidi kwenye kesi hii Shahidi: Ndiyo Kibatala: uliona wapi? shahidi: niliona kwenye mitandao ya kijamii Kibatala: Kwenye mtandao gani? shahidi: Twitter Kibatala: umekana proceeding za maswali na majibu pia shahidi: Hapana
265
404
3K
@IAMartin_
Martin Maranja Masese
8 months
Heri ya siku yako ya kuzaliwa Freeman Martin Maranja Masese. Jina lako maana yake ni ‘mtu huru’ na ulipewa jina hilo kwa heshima ya @freemanmbowetz , ulizaliwa ‘mwamba’ akiwa gerezani September 2021 kwa mashtaka ya ugaidi. Baba anakupenda sana. Happy Birthday son. ❤️
Tweet media one
Tweet media two
188
224
3K
@IAMartin_
Martin Maranja Masese
1 year
Janeth Magufuli ana trend.. Kafanyaje Kwani?
Tweet media one
168
111
3K
@IAMartin_
Martin Maranja Masese
3 months
Rate this out of 10. This mansion is owned by @ExMayorUbungo .. #lowlifelifted
Tweet media one
226
209
3K
@IAMartin_
Martin Maranja Masese
3 years
JAJI: jana mlimuuliza nini shahidi? Kibatala: naomba nipitie kidogo JAJI: sawa endelea ukiwa tayari niambie SHAHIDI: anayoosha mkono JAJI: Shahidi unataka kufanya nini kuendelea kutoa ushahidi wakati tunasubiria? Shahidi: nataka kumsaidia mheshimiwa Jaji;hiyo siyo kazi yako
252
386
3K
@IAMartin_
Martin Maranja Masese
2 years
Stephen Martin Maranja Aziz Masese Ki 🔥
174
149
3K
@IAMartin_
Martin Maranja Masese
3 years
Hermanos, nipo salama, Mungu wetu ni mwema sana, nimeona 'concern' na hofu yenu pia, leo sijafika mahakamani, kesho nitakuwepo, lipo jambo tunakamilisha. But all in all let's pray for the sake of our safety. Nafikiri kuna wengine wanatoa 'updates', tuwasome. Tutashinda. MSIOGOPE!
194
347
3K
@IAMartin_
Martin Maranja Masese
3 years
Kibatala: Kazi ya Kingai ilikuwa ni nini? shahidi: ni Mkuu wa Msafara Kibatala: Adamo pale Boma Ng'ombe alikula Chakula gani? shahidi: woteeeeee Kibatala Sitaki wote jibu, Adamoo shahidi: alikuwa Nyama Choma na MO ENERGY Kibatala: Nani alilipa?
211
375
3K
@IAMartin_
Martin Maranja Masese
3 years
shahidi: Mheshimiwa wakili anasoma nukuu tofauti kwenye PGO Jaji: shahidi hebu TULIA jibu unachoulizwa tafadhali, Mnafikiri na mimi sisomi hiyo PGO? Kibatala: Je, ulisema kama ilivyoandikwa katika PGO? shahidi: Hapana sikusema kama ilivyoandikwa katika PGO
218
385
3K
@IAMartin_
Martin Maranja Masese
10 months
Kanisa Katoliki la mitume limetimiza wajibu wake wa kitume. Amani ya bwana iwe nanyi baraza la maaskofu katoliki Tanzania (TEC) na maaskofu wote 37. Sauti ya wananchi ni sauti ya Mungu. Kanisa katoliki limegoma kuwa wapambe wa serikali katika kuuza bandari kwa waarabu wa Dubai.
Tweet media one
150
491
3K
@IAMartin_
Martin Maranja Masese
3 years
Mallya: kuna wakati ulitaka kumueleza Jaji kuna vingine ulitaka kumueleza nini hivyo? Shahidi: Takribani Mwaka 1 na mwezi sasa tangu niteswe na kuumizwa, sikuwahi kupelekwa hospitali kwa matibabu na mpaka sasa nahisi maumivu makali
109
408
3K
@IAMartin_
Martin Maranja Masese
3 years
Watu waliojitambulisha ni maafisa usalama, wamemchukua mmoja kati ya watu wanaodhani tunafahamiana ofisini kwake hadi kituoni, wakampa namba yangu ya simu anipigie, aniulize nipo wapi. Bado wapo nae, wakisema hadi nionekane ndiyo watamuachia. Tunaishi zama hatari sana. Tuombeane!
264
452
3K
@IAMartin_
Martin Maranja Masese
2 years
MMM na Adv. Peter Kibatala, the other day! Wakili Kibatala kaamua kucheza ipasavyo na shahidi wa mchongo (homeboy, Luteni Denis Urio) perpendicular. Sasa tunampa RETWEETS ngapi kuonyesha tunamkubali Adv. Peter Kibatala kwa kazi ya kuwatetea Freeman Mbowe na wenzake? Let’s GO!
Tweet media one
57
1K
3K
@IAMartin_
Martin Maranja Masese
3 years
Taarifa kwa wasomaji wote wanaofuatilia ukurasa huu, Sasa hapa tutakuwa tunatumia (W.S) kama ufupisho wa neno "WAKILI WA SERIKALI"... Ahsanteni..
139
314
3K
@IAMartin_
Martin Maranja Masese
2 years
Jina la “utopolo” lilitoka kwa shabiki wa Yanga aliyekerwa na matokeo ya timu yake. Jina la “wala mihogo” limetoka kwa Rais wa Yanga kwenda kwa mashabiki wa Yanga alipokerwa na maoni ya mashabiki. Sasa watani wetu wanatukaanga kwa mafuta yetu wenyewe. Tuvumilie tu.
183
249
3K
@IAMartin_
Martin Maranja Masese
4 months
Pumzika kwa amani Mzee Edward Ngoyai Lowassa. Poleni familia na Mungu awatie nguvu nyakati hizi ngumu. Bwana alitoa, na Bwana ametwaa; jina la Bwana na libarikiwe. Ayubu 1:21
Tweet media one
Tweet media two
122
295
3K
@IAMartin_
Martin Maranja Masese
3 years
"usiwe kama HAULE au KIGOGO" kauli ya kukera. MMM nipo Twitter tangu March 2010, miaka 11 iliyopita. Nimepambana na hali zote, nimetoboa. Mimi ni mwanachama wa CHADEMA tangu 2004. maana yake? Kuna CAUSE ambayo inaniongoza. Tuishi kwa amani. ADUI yangu ni CCM. Hajatoka madarakani
107
281
3K
@IAMartin_
Martin Maranja Masese
4 months
Edward Ngoyai Lowassa • CHADEMA • Ruanda-Nzovwe, Mbeya Mjini • 19.10.2015
Tweet media one
94
218
3K
@IAMartin_
Martin Maranja Masese
6 months
Pauline Philipo Gekul, mbunge wa Babati Mjini (CCM) amekamatwa na jeshi la polisi alipokuwa akijaribu kutoroka kuelekea nchini Kenya kupitia mpaka wa Holili, Rombo, Kilimanjaro. Hii ni nia OVU. Jambazi Pauline aliwateka Hashimu na Michael, kuwatesa na kuwawekea chupa makalioni.
Tweet media one
Tweet media two
279
396
3K
@IAMartin_
Martin Maranja Masese
10 months
Kouassi Attohoula Yao (Yow Yow). Beast. 🦬
Tweet media one
27
111
3K
@IAMartin_
Martin Maranja Masese
3 years
Wakili Mallya: OBJECTION Mheshimiwa naomba distance kati ya wakili na mteja wangu, kwa sababu za ki Afya akae mbali kidogo, wakili amevua barakoa makusudi Jaji: Sababu za Ki Afya KAA MBALI KIDOGO
174
340
3K
@IAMartin_
Martin Maranja Masese
6 months
Ndugu zangu ambao hapa mnazo akaunti kubwa, linapotokea jambo lolote ambalo tunatakiwa kuiwajibisha serikali au viongozi, tupaze sauti bila kujali tofauti ya mitazamo yetu. Mfano jambo la Pauline Gekul, tumesema hapa siku mbili, mmejikausha. Barua ya utenguzi mnaifurahia wote.
Tweet media one
Tweet media two
174
436
3K
@IAMartin_
Martin Maranja Masese
1 year
KARIAKOO: Mwenyekiti wa Wafanyabiashara Kariakoo ameitisha kikao cha dharura lakini anasema hakutegemea watu kuwa wengi hivyo, akawataka waingie wawakilishi 25 tu ndani ya hicho kikao. Wafanyabiashara wamegoma, wanataka wazungumze wote hadharani, siyo sirini.
Tweet media one
122
234
3K
@IAMartin_
Martin Maranja Masese
3 years
Jaji: ungesoma kama wakili Kibatala anavyosoma au ungependa kuelezea? Shahidi: ningependa kuelezea tu.. Kibatala: Je UNASOMA PGO au HUSOMI? Shahidi: SI SO MI Mheshimiwa JAJI Kibatala: Ahsante, sasa ngoja Jaji aaandike umekataa kusoma PGO kwa unachokisema..
239
403
3K
@IAMartin_
Martin Maranja Masese
3 years
Na mimi pia nawashukuru wote ambao mnafuatilia mwenendo wa kesi ya Freeman Mbowe na wenzake watatu kupitia ukurasa huu, tuendelee kuombeana kheri na fanaka, Mungu wetu atuweke salama hadi Jumatatu asubuhi, saa 3.. Mbarikiwe sana
142
300
3K
@IAMartin_
Martin Maranja Masese
3 years
Diary ya shahidi ina maswali na majibu kama zile JIPIME za Darasa la saba au Pamphlets za Nyambari Nyangwine… 😂
170
275
3K
@IAMartin_
Martin Maranja Masese
4 months
Repost ifike mbali.. bado siku moja tu.
Tweet media one
151
1K
3K