Ukimaliza chuo ukarudi home afu huna mishe...inafika wakati buku ya vocha inapatikana kwa mbinde mno,afu ghafla USB inakufa, sendo zinaisha, Simu inaanza kuzingua, ndevu zinakuwa kwa kasi, haujatulia vizuri demu wako wa chuo amekuacha...ghafla demu wako mpya siku zake hazioni🙌