Hizi Hapa Series Kali Zinazohusu Madawa Ya Kulevya na rates zake as per IMDb.
Ukitaka series hizi na nyingine nyingi kali basi mcheki
@MvuviMovies
||
@ITexpertTz
1. BREAKING BAD (9.5)
Harmonize akishakuwa mbunge na akaenda bungeni.
Spika: Mheshimiwa Harmonize tunaomba maoni yako juu ya muswada huu!
Harmonize: I go die for my country. I go die for this bill. I go die for my people. I go die for my president. Asante mheshimiwa spika.
Ukweli usiopingika ni kwamba hakuna watu wanaoichukia CCM kama vijana waliomaliza vyuo 2015-2019!
Kama upo kwenye hiyo rika huwezi kuisifia CCM labda uwe umenunuliwa!
Trust Me!
Manchester United Will Lose Today
Manchester United Will Lose Today
Manchester United Will Lose Today
Manchester United Will Lose Today
Manchester United Will Lose Today
Manchester United Will Lose Today
Manchester United Will Lose Today
Manchester United Will Lose Today
Nipe list ya drama/series zako 10 ulizoangalia na unazikubali sana.
Mimi:
1. Prison Break
2. Homeland
3. Queen Of The South
4. Banshee
5. The Last Ship
6. Money Heist
7. Into The Badlands
8. Gu Family Book
9. Ingobernable
10. Designated Survivor
Legoooooooo.👇
Hii ni thread ya wafanyabiashara ambao nimekuwa nikiwaona hapa twita mara kwa mara.
Sio kwamba ni hawa tu ila hawa ndo wamekuwa wakipita pita kwa TL yangu.
Kama umesahaulika basi reply/quote tweet hii ili watu wakujue.
@siimasoud
anauza vyombo vya jikoni kwa bei nafuu.
I never knew kama siku moja ntakuja kwenda mochwari kuuchukua mwili wa ndugu yangu mpaka pale nilipoenda kuuchukua mwili wa mdogo wangu mochwari!
Ni maumivu makali sana moyoni mwangu na familia nzima kwa ujumla ila kikubwa ni kumshkru Mungu kwa yote.
Tumebaki watoto wawili sasa!
Diamond fans wanaona ni sawa kumbully Kiba ila msanii wao akiongelewa kidogo wanakuja na "tumsapoti kwani ndo anawakilisha taifa"
You Mfos kwani yeye ndo msanii wa kwanza kufanya show nje ya nchi, yeye ndo msanii wa kwanza kufanya kazi na wasanii wa nje!
Stupid cunts.
Ntafanya yote hapa Twita ila sio kuRT tweets za mtu anayejikuta spesho in such a way kwamba hawezi kuRT tweets za wengine au anachagua watu wa kuRT tweets zao.
Siku Zote Kinachomponza Mbu Uwa Ni Kupiga Kelele Wakati Anaitafuta Damu (Chakula) Na Mwisho Wa Siku Huishia Kuuawa.
Fanya Mambo Yako Pasi Na Kupiga Kelele. Mheshimu Na Kumtanguliza Mungu.
Acha Mafanikio Yako Yaongee Na Sio Wewe.
Ukawe Na Siku Njema Ndugu.🙏
Mambo 10 madogomadogo ya kufanya kama unataka kuuteka moyo wa mwanamke unayempenda! (Kuhusu Pesa tuliache kwanza😀)
Inawezekana unawa-approach wanakukataa na unadhani ni kwa sababu ya umaskini kumbe ni vitu vidogo vidogo😊😊
Shuka na mimi leo👇
[UZI]
#ElimikaNaJacton