JE UNAJUA KWA NINI HUFANIKIWI?
Una mizigo mingi isiyo ya lazima wala faida ambayo umeibeba:-
1.Umejipa jukumu la kuwa "mpelelezi" wa maisha ya wengine na umesahau maisha yako.
2.Umebeba vinyongo na visasi moyoni vinavyokufanya uwafikirie waliokuumiza zaidi kuliko kufikiria
-Kuna C.E.O wa kampuni katoa milioni 3 kwa Shujaa Majaliwa 👏
-Milioni moja kapewa
-Kapewa laki tatu na mbunge
-Mama Kasema kijana atafutiwe nafasi jeshi la uokozi.
#Shujaa
Mkungu mmoja wa ndizi kununua + cost za kusafirisha 15,000 Njoo uza elfu 30. Faida elfu 15 k wa mikungu 200 tu unapata faida Milioni 3 Kwa Mwezi fanya tripu 10 una milioni 30.
Happy Nane nane Day...
Mkungu mmoja wa ndizi kununua + cost za kusafirisha 15,000
Njoo uza elfu 30. Faida elfu 15 k wa mikungu 200 tu unapata faida Milioni 3
Kwa Mwezi fanya tripu 10 una milioni 30. Kwenu Studio 🤔