Tunaposema Social Media Influencer tunamaanisha watu kama hawa
@nyuki_malkia
haijalishi amelipwa au hakulipwa lakini alicho kifanya ni kikubwa kuliko hata matarajio yake ✍️
Nyie Influencer wengine endelezeni NJAA zenu na kupoteza UTU kwa watu.
Wapwa wameamua na wamesema leo tufunge hesabu ya followers wapya 400 na kuweka hesabu ya 800✍️
Retweet 🔁
Weka Handles 🤝
Like 👍
Follow Back waliokufollow
#TelezaNaNurse
🌹
Awamu ya 4 chama kilipoteza mvuto na Ushawishi kwa wananchi ikabidi Awamu ya 5 itumie nguvu kukirudishia chama heshima Awamu ya 6 chama kinapoteza Ushawishi kwa mara nyingine na kuipa Kibarua kizito Awamu ya 7 ya kukirudishia chama heshima ✍️🙌
Jana wakati nimerudi Kuna Accounts nilikuwa naona post zao ila sasa hivi sizioni na hawajaniblock,🤔
Shida ni nini watu wangu mnanitembezea MUTE kimya kimya ..? 😂😂